Friday, June 9, 2023

Custom Adv 1

Wizara ya Mambo ya Ndani  a Uratibu wa Serikali ya  Kitaifa

Idara ya Huduma za Marekebisho

MPANGILIO WA UTOAJI WA HUDUMA KWA RAIA

Idara ya Huduma za Marekebisho inalenga kutoa huduma kwa ubora na ufanisi.

RUWAZA:

Kuwa shirika bora katika huduma za marekebisho.

LENGO:

Kukuza jamii salama na yenye haki kupitia kwa usimamizi bora wa wahalifu na utoaji wa haki.

MAADILI YA KIMSINGI:

Utaalamu, Uwazi na Uwajibikaji, Uadilifu, Usiri, Haki, Heshima kwa utu na Ushirikiano.

Maadili haya ya kinsingi yamelinganishwa na Maadili na Kanuni za Kitaifa Kuhusu Uongozi

Viwango Vyetu vya Huduma

Nambari

Huduma Zetu

Wajibu wako

Malipo

Muda

1

Maswali

Kutembelea ofisi zetu, kupiga simu au kutuma baruapepe

Bure

Dakika 5

2

Kujibu mawasiliano

Kutuma mawasiliano ya maandishi

Bure

Siku 5 za kazi

3

Kukiri kupokea mawasiliano

Kutuma mawasiliano ya maandishi

Bure

Siku 3 za kazi

4

Kuajiri maafisa wa magereza

Vyeti vya kielimu na kitaaluma, kitambulisho cha kitaifa,

cheti cha mwenendo mwema na cheti cha kuzaliwa

Bure

Siku 1 jinsi ilivyotangazwa katika hatua za

kuajiri

5

Kuwatembelea wafungwa:

a) Wafungwa waliohukumiwa tayari

b) Wafungwa wanaosubiri hukumu

Kutembelea ofisi zetu, kuonyesha kitambulisho cha kitaifa

au pasipoti wakati wa ziara

Bure

a) Dakika 10 kwa wafungwa waliohukumi-

wa tayari

b) Dakika 15 kwa wafungwa wanaosubiri hukumu

6

Ripoti za uchunguzi wa kijamii kwa

mahakama na taasisi nyingine za marekebisho

a) Amri ya mahakama

b) Maombi kutoka kwa taasisi nyingine za marekebisho

Bure

a) Siku 14 kwa amri ya mahakama

b) Siku 30 kwa maombi kutoka kwa taasisi nyingine za marekebisho

7

Usimamizi wa wahalifu wasio-

fungwa gerezani

Amri kutoka kwa mahakama na taasisi nyingine za

marekebisho

Bure

Kulingana na amri ya mahakama na leseni

ya kuachiliwa huru

8

Utoaji wa idhini ya kutumia fedha

(AIEs)

a) Maandalizi katika idara mbalimbali

Bure

Siku 7 za kazi

b) Kupata idhinisho kutoka kwa idara ya fedha

Bure

Siku 3 za kazi

c) Ofisi ya akaunti kutoa malipo ya AIE

Bure

Siku 5 za kazi

9

Kutayarisha maombi na kandarasi

a) Kamati ya kutathmini zabuni katika idara

Bure

Siku 30 za kazi

b) Taarifa inayoonyesha uwasilishaji wa LPO/LSO, ankara

ya S13 na stakabadhi nyingine saidizi

Bure

Siku 7 za kazi

10

Kulipia bidhaa zilizowasilishwa,

huduma zilizotolewa na kazi zilizofanywa

a) Kutayarisha mchakato wa malipo

Bure

Siku 5 za kazi

b) Kutekeleza mchakato wa shughuli za benki kupitia kwa

mtandao

Bure

Siku 2 za kazi

11

Utoaji wa huduma za kisheria

Kutoa ripoti rasmi ya suala au masuala ya kisheria

Bure

Ndani ya saa 24

12

Taarifa kuhusu matangazo ya

nafasi za kazi

Kutuma maombi na kuwasilisha vyeti vya kielimu na

kitaaluma

Bure

Ndani ya muda wa matangazo wa siku 21

za kazi

Ili kutusaidia kuboresha utoaji wa huduma, mawasiliano/malalamishi na maswali yanaweza kutumwa kwa anwani hii:

Katibu Mkuu, Idara ya Huduma za Marekebisho, Jumba la Telposta, Ghorofa ya 28, Mrengo wa C – Kwenye Kiingilio, Barabara ya Kenyatta, S.L.P. 30478 – 00100 Nairobi.

                                              Anwani Zetu

 
 
 
Katibu Mkuu,
Idara ya Huduma za Marekebisho,
Jumba la Telposta, Ghorofa ya 28, Mrengo wa C – Kwenye Kiingilio, Barabara ya Kenyatta, S.L.P. 30478 – 00100, NAIROBI.
Simu: +254-020-2228411
Baruapepe: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it. This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.
@correctionalKE
@prisonsKE
@probationKE
Waziri,
Wizara ya Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa, Jumba la Harambee, Ghorofa ya 6, Barabara ya Harambee, S.L.P. 30510 – 00100, NAIROBI.
Simu: +254-020-2227411
Baruapepe: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it. This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.
@interiorKE
Afisa Mkuu Mtendaji, Tume ya Utoaji wa Haki,
Jumba la West End, Ghorofa ya 2, Mkabala wa Shule ya Upili ya Aga Khan, Barabara ya Waiyaki – Westlands,
S.L.P. 20414 – 00200, NAIROBI.
Simu: +254-20-270000 / 2303000 / 2603765 / 2409574 / 0777125818 / 0800221349 (Bila malipo) Baruapepe: iThis email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.
 
     

 

 

 

 

 

 

 

 

Our Contacts

State Department Of Correctional Services
Telposta Towers,Nairobi
P. O. Box 30478 - 00100 Kenya
E-mail: ps@correctional.go.ke
Telephone: Tel. +254 020 2228411